Mukhtar al Thaaqafi aliyelipa kisasi kwa kupigana na kuwaua wale vinara wote walioshiriki katika mauaji ya mjukuu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Imam Husain pale Karbala. Kutokana na kazi yake maalum ya kulipiza kisasi hicho zilizuka habari nyingiza kupotosha kuhusu maisha yake kwa wakati ule, kwa mfano, watu walidai alitoka katika familia duni isiyostahiki kuheshimika n.k., bali yeye alitoka katika kabila tukufu la Banu Hawazin, ambapo pia walitoka watu watukufu kama utakavyoona ndani ya kitabu hiki
Book | |
Author | Dkt M H Datoo |
Cover Type | Paperback |
ISBN | 978 9987 17 059 3 |
Pages | 106 |
Translated By | Umm Zahra Gulbanu Musa |
Year Published | 2014 |
Publisher | |
Publisher | Al-Itrah Foundation |
Mukhtar - Shuja Aliyelipiza Kisasi dhidi ya wauaji wa Imam Husain (AS) hapo Karbala (61-67AH) - Kiswahili Language
- Brand: Al Itrah Foundation - Dsm
- Product Code: Mukhtar - Kiswahili Language
- Availability: In Stock
-
£1.00
Related Products
Karbala - The Complete Picture
This book is intended for people of different faiths and of varying age groupswho have a passing or ..
£1.00 £3.49
Mukhtar-How-he-avenged-the-Karbala-Perpetrators-61-67-AH
The content in this book is very popular inline with the style of the author, written in a nar..
£2.49
Karbala - The Complete Picture - Downloadable Version (EPUB and MOBI)
This book is intended for people of different faiths and of varying age groupswho have a passing or ..
£0.99
Mukhtar - How he avenged the Karbala Perpetrators (61-67 AH) - Downloadable Version (EPUB and MOBI)
The content in this book is very popular inline with the style of the author, written in ..
£0.99